Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Nigeria: Makabiliano mapya mabaya ya kikabila yazuka katikati mwa nchi

Nigeria: Makabiliano mapya mabaya ya kikabila yazuka katikati mwa nchi
Rfi swahili top crime

Ghasia hizo zimesababisha vifo vya watu wasiopungua ishirini jioni ya Agosti 14 katika Jimbo la Niger, katikati-magharibi mwa Nigeria. Kulingana na mbunge wa eneo hilo, makabiliano hayo yalihusisha makundi ya kikabila na wanamgambo wa eneo hilo. Eneo hilo pia linalengwa na makundi yenye silaha yanayojulikana kama "majambazi." Mamlaka za eneo hilo zinalaani ukosefu wa rasilimali za usalama ili kuhakikisha ulinzi wa jamii.
2026-08-16 07:15:11

What are you doing?

0.031124114990234


News
Rfi

Latest News and Headlines
Ghasia hizo zimesababisha vifo vya watu wasiopungua ishirini jioni ya Agosti 14 katika Jimbo la Niger, katikati-magharibi mwa Nigeria. Kulin...
News