Nchini Madagascar, mashauriano ya kitaifa, yaliyoahirishwa mara kwa mara tangu mwanzo wa mwaka, yamesogezwa mbele tena mnamo Juni 3. Kanali Michaël Randrianirina, rais wa sasa wa Madagascar, alitumia fursa ya siku hii, ambayo ilitakiwa kuwa siku ya uzinduzi, kutangaza rasmi jukumu kuu la Baraza la Kiekumeni la Makanisa ya Kikristo katika mchakato ujao.
2026-06-04 12:15:04