Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Madagascar: Rais athibitisha jukumu la makanisa katika mashauriano ya kitaifa yajayo

Madagascar: Rais athibitisha jukumu la makanisa katika mashauriano ya kitaifa yajayo
swahili politics top

Nchini Madagascar, mashauriano ya kitaifa, yaliyoahirishwa mara kwa mara tangu mwanzo wa mwaka, yamesogezwa mbele tena mnamo Juni 3. Kanali Michaël Randrianirina, rais wa sasa wa Madagascar, alitumia fursa ya siku hii, ambayo ilitakiwa kuwa siku ya uzinduzi, kutangaza rasmi jukumu kuu la Baraza la Kiekumeni la Makanisa ya Kikristo katika mchakato ujao.
2026-06-04 12:15:04

What are you doing?

0.11227989196777


News
News

Latest News and Headlines
Nchini Madagascar, mashauriano ya kitaifa, yaliyoahirishwa mara kwa mara tangu mwanzo wa mwaka, yamesogezwa mbele tena mnamo Juni 3. Kanali ...
News