MOROGORO: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima, amesema Kada ya Maendeleo ya Jamii inapaswa kuwa injini ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kuongoza mageuzi ya fikra, kuimarisha uchumi wa wananchi na kujenga jamii yenye maarifa, uzalishaji, ubunifu na uzalendo. Dk Gwajima amesema hayo mjini ...
2026-07-02 09:16:59