Ukraine: Watu kadhaa wauawa katika 'mashambulizi makubwa' ya makombora Kyiv
swahili top crime
Mji mkuu wa Ukraine umelengwa na makombora na ndege zisizo na rubani za Urusi zilizosababisha moto na kuwaua watu wasiopungua wanane siku ya Alhamisi, Julai 2, baada ya Volodymyr Zelensky kuonya kuhusu shambulio "kubwa". Rais wa Ukraine alibaini siku iliyopita kutoka Dublin kwamba anarudi mara moja Kyiv kufuatia ripoti za shambulio jipya la Urusi lililokuwa likiandaliwa. 2026-07-02 05:40:05
Dernières nouvelles et titres
Mji mkuu wa Ukraine umelengwa na makombora na ndege zisizo na rubani za Urusi zilizosababisha moto na kuwaua watu wasiopungua wanane siku ya...
Nouvelles