Chargement

Slzii.com Recherche

Recherche (Nouvelles)

Ukraine: Watu kadhaa wauawa katika 'mashambulizi makubwa' ya makombora Kyiv

Ukraine: Watu kadhaa wauawa katika 'mashambulizi makubwa' ya makombora Kyiv
Rfi swahili top crime

Mji mkuu wa Ukraine umelengwa na makombora na ndege zisizo na rubani za Urusi zilizosababisha moto na kuwaua watu wasiopungua wanane siku ya Alhamisi, Julai 2, baada ya Volodymyr Zelensky kuonya kuhusu shambulio "kubwa". Rais wa Ukraine alibaini siku iliyopita kutoka Dublin kwamba anarudi mara moja Kyiv kufuatia ripoti za shambulio jipya la Urusi lililokuwa likiandaliwa.
2026-07-02 05:40:05

Que fais-tu?

0.038589000701904


Nouvelles
Nouvelles

Dernières nouvelles et titres
Mji mkuu wa Ukraine umelengwa na makombora na ndege zisizo na rubani za Urusi zilizosababisha moto na kuwaua watu wasiopungua wanane siku ya...
Nouvelles