Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Denis Mukwege ametoa wito kwa kundi la waasi wa AFC/M23 siku ya Jumanne, Mei 19, kufungua tena uwanja wa ndege wa Goma ili kurahisisha mwitikio wa janga la Ebola. Wito huu unaonyesha ukweli dhahiri: tangu AFC/M23 ilipoteka Goma mnamo mweziJanuari 2015, uwanja huu wa ndege, kitovu kikubwa cha kibinadamu mashariki mwa DRC, umefungwa. Je, utaendelea kufungwa?
2026-05-21 10:12:53