Loading (dadon) bɛ kɛ

Slzii.com Ɲini

Ɲini (Kunnafoniw)

Ebola nchini DRC: Je, AFC/M23 itafungua tena uwanja wa ndege wa Goma?

Ebola nchini DRC: Je, AFC/M23 itafungua tena uwanja wa ndege wa Goma?
swahili top lifestyle

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Denis Mukwege ametoa wito kwa kundi la waasi wa AFC/M23 siku ya Jumanne, Mei 19, kufungua tena uwanja wa ndege wa Goma ili kurahisisha mwitikio wa janga la Ebola. Wito huu unaonyesha ukweli dhahiri: tangu AFC/M23 ilipoteka Goma mnamo mweziJanuari 2015, uwanja huu wa ndege, kitovu kikubwa cha kibinadamu mashariki mwa DRC, umefungwa. Je, utaendelea kufungwa?
2026-05-21 10:12:53

I be ka mun kɛ?

0.10405611991882


Kunnafoniw
Kunnafoniw

Kibaruyaw ni Kunnafoni labanw
Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Denis Mukwege ametoa wito kwa kundi la waasi wa AFC/M23 siku ya Jumanne, Mei 19, kufungua tena uwanja wa n...
Kunnafoniw