Madagascar: Karibu watu 70 wamelazwa hospitalini baada ya kula chakula chenye sumu
swahili top crime
Watu 69 nchini Madagascar wamelazwa hospitalini baada ya kula chakula chenye sumu mwishoni mwa wiki iliyopita katika mji mkuu wa nchi hiyo Antananarivo. Hakuna vifo vilivyoripotiwa, lakini tukio hilo linaibua maswali zaidi kuhusu hali ya usafi huko Antananarivo. 2026-05-19 15:48:30
Latest News and Headlines
Watu 69 nchini Madagascar wamelazwa hospitalini baada ya kula chakula chenye sumu mwishoni mwa wiki iliyopita katika mji mkuu wa nchi hiyo A...
News