読み込み中

Slzii.com 検索

検索 (ニュース)

Cameroon: Kesi za ghasia za baada ya uchaguzi za Oktoba 2025 zinaendelea

Cameroon: Kesi za ghasia za baada ya uchaguzi za Oktoba 2025 zinaendelea
Rfi swahili top crime

Mahakama ya kijeshi mjini Yaoundé nchini Kameruni iliendelea na usikilizaji wa kesi zinazowakabili watu 66 waliokamatwa kufuatia maandamano na ghasia za baada ya uchaguzi wa rais wa mwezi Oktoba 2025. Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka mbalimbali yakiwemo uasi na uenezaji wa taarifa za uongo.
2026-08-14 06:59:17

何してるの?

0.033159017562866


ニュース
Rfi

最新のニュースとヘッドライン
Mahakama ya kijeshi mjini Yaoundé nchini Kameruni iliendelea na usikilizaji wa kesi zinazowakabili watu 66 waliokamatwa kufuatia maandamano...
ニュース