Cameroon: Kesi za ghasia za baada ya uchaguzi za Oktoba 2025 zinaendelea
swahili top crime
Mahakama ya kijeshi mjini Yaoundé nchini Kameruni iliendelea na usikilizaji wa kesi zinazowakabili watu 66 waliokamatwa kufuatia maandamano na ghasia za baada ya uchaguzi wa rais wa mwezi Oktoba 2025. Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka mbalimbali yakiwemo uasi na uenezaji wa taarifa za uongo. 2026-08-14 06:59:17
最新のニュースとヘッドライン
Mahakama ya kijeshi mjini Yaoundé nchini Kameruni iliendelea na usikilizaji wa kesi zinazowakabili watu 66 waliokamatwa kufuatia maandamano...
ニュース