Nchini Senegal, mwezi mmoja na nusu baada ya kutangazwa kwa sheria inayoongeza adhabu kali kwa ushoga, na wakati zaidi ya watu mia moja wakikamatwa kwa madai ya "vitendo visivyo vya asili" na baadhi wakituhumiwa kwa kusambaza VVU kimakusudi, wanasheria wana wasiwasi kuhusu ukiukwaji wa haki za washtakiwa, ikiwa ni pamoja na upekuzi wa simu za mkononi bila ridhaa, nakala za mahojiano kuvuja kwa vyombo vya habari, na ukosefu wa uwakilishi wa kisheria kwa idadi ya waliokamatwa.
2026-05-19 06:48:44