Urusi yasema imedungua ndege zisizo na rubani 605 za Ukraine usiku wa Agosti 5 kuamkia Agosti 6
swahili politics crime top
Urusi imetangaza leo Alhamisi, Agosti 6, kwamba imedungua ndege zisizo na rubani 605 za Ukraine usiku wa Jumatano kuamkia leo Alhamisi katika maeneo yake 20 hivi na Rasi ya Crimea iliyounganishwa. 2026-08-06 06:18:52
تازه خبرونه او سرلیکونه
Urusi imetangaza leo Alhamisi, Agosti 6, kwamba imedungua ndege zisizo na rubani 605 za Ukraine usiku wa Jumatano kuamkia leo Alhamisi katik...
خبرونه