Uganda : Kesi dhidi ya Besigye imeanza kusikilizwa
swahili top politics
Kesi ya uhaini inayomkabili mwanasiasa mkongwe wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye, ilianza siku ya Jumanne jijini Kampala wakati huu, wanaharakati na wapinzani wa rais Yoweri Museveni wakiendelea kukamatwa akiwemo Miria Matembe ambaye amefunguliwa mashtaka ya uchochezi na kuzuiwa kwenye gereza la Luzira. 2026-07-01 04:51:03
Latest News and Headlines
Kesi ya uhaini inayomkabili mwanasiasa mkongwe wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye, ilianza siku ya Jumanne jijini Kampala wakati huu, w...
News