Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, uvuvi katika Ziwa Tanganyika umesitishwa kwa miezi mitatu, kuanzia Mei 15, 2026. Uamuzi huu wa waziri wa uvuvi wa mkoa wa Tanganyika, Raphael Pungwe, unalenga kuhifadhi spishi za ziwa. Hata hivyo, wavuvi na wanaharakati wa mashirika ya kiraia hawakubaliani na uamuzi huu: wanasema serikali haijaweka hatua zozote za usaidizi..
2026-05-15 06:41:14