Chargement

Slzii.com Recherche

Recherche (Nouvelles)

DRC: Wavuvi wapandwa na hasira kufuatia uamuzi wa kusitishwa kwa uvuvi katika Ziwa Tanganyika

DRC: Wavuvi wapandwa na hasira kufuatia uamuzi wa kusitishwa kwa uvuvi katika Ziwa Tanganyika
swahili environment top

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, uvuvi katika Ziwa Tanganyika umesitishwa kwa miezi mitatu, kuanzia Mei 15, 2026. Uamuzi huu wa waziri wa uvuvi wa mkoa wa Tanganyika, Raphael Pungwe, unalenga kuhifadhi spishi za ziwa. Hata hivyo, wavuvi na wanaharakati wa mashirika ya kiraia hawakubaliani na uamuzi huu: wanasema serikali haijaweka hatua zozote za usaidizi..
2026-05-15 06:41:14

Que fais-tu?

0.10552382469177


Nouvelles
Nouvelles

Dernières nouvelles et titres
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, uvuvi katika Ziwa Tanganyika umesitishwa kwa miezi mitatu, kuanzia Mei 15, 2026. Uamuzi huu wa wazi...
Nouvelles