กำลังโหลด

Slzii.com ค้นหา

ค้นหา (ข่าว)

DRC: Zaidi ya Wakongo milioni 26.5 wanakabiliwa na uhaba wa chakula

DRC: Zaidi ya Wakongo milioni 26.5 wanakabiliwa na uhaba wa chakula
swahili environment top

Zaidi ya watu milioni 26.5 nchini DRC wanakabiliwa na uhaba wa chakula, kulingana na takwimu za Umoja wa Mataifa—sawa na Mkongo mmoja kati ya Wakongo wanne.Mpango wa msaada kwa sasa haufadhiliwi kikamilifu, laonya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO). Katika taarifa ya pamoja, mashirika hayo mawili yanatoa tahadhari kuhusu mgogoro huu wa chakula, "mojawapo ya mizozo mikubwa zaidi duniani."
2026-05-15 06:16:58

คุณกำลังทำอะไร?

0.079648017883301


ข่าว
ข่าว

ข่าวล่าสุดและพาดหัวข่าว
Zaidi ya watu milioni 26.5 nchini DRC wanakabiliwa na uhaba wa chakula, kulingana na takwimu za Umoja wa Mataifa—sawa na Mkongo mmoja kati y...
ข่าว