Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Ukraine: Idadi ya raia waliouawa mwezi Julai iko juu zaidi tangu Mei 2022, kulingana na UM

Ukraine: Idadi ya raia waliouawa mwezi Julai iko juu zaidi tangu Mei 2022, kulingana na UM
Rfi swahili crime top

Mwezi wa Julai ulikuwa mwezi mbaya zaidi kwa raia nchini Ukraine tangu mwezi Mei 2022, kufuatia miaka minne na nusu ya mashambulizi ya Urusi, kulingana na ripoti iliyochapishwa siku ya Alhamisi, Agosti 13, na Ujumbe wa Ufuatiliaji wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Ukraine (HRMMU).
2026-08-13 11:31:32

What are you doing?

0.037473201751709


News
Rfi

Latest News and Headlines
Mwezi wa Julai ulikuwa mwezi mbaya zaidi kwa raia nchini Ukraine tangu mwezi Mei 2022, kufuatia miaka minne na nusu ya mashambulizi ya Urusi...
News