Japan yakosoa ziara ya Putin kwenye visiwa vyenye mgogoro
swahili politics top
Waziri mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, amesema ziara ya Rais wa Urusi, Vladmir Putin kwenye kisiwa cha Kuril ambacho wanamgogoro nacho ‘haikubaliki’, wakati huu Tokyo nayo ikidai kisiwa hicho ni mali yake. 2026-08-13 08:59:06
Últimas noticias y titulares
Waziri mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, amesema ziara ya Rais wa Urusi, Vladmir Putin kwenye kisiwa cha Kuril ambacho wanamgogoro nacho ‘haiku...
Noticias