読み込み中

Slzii.com 検索

検索 (ニュース)

Rwanda-DRC: Mwaka mmoja baadaye, makubaliano ya amani ya Washington yanatekelezwa (ripoti)

Rwanda-DRC: Mwaka mmoja baadaye, makubaliano ya amani ya Washington yanatekelezwa (ripoti)
Rfi swahili top politics

Makubaliano ya amani ya Washingtona yliyosainiwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, yanatekelezwa licha ya changamoto zinazojiokeza, kulingana na Kipimo cha Mikataba ya Amani ya Afrika. Shirika hili huru limejitolea kufuatilia, kutathmini, na kukuza utekelezaji mzuri wa makubaliano haya kote barani. Ripoti rasmi, iliyochapishwa siku ya Jumatano, Julai 1, inakadiria kuwa kiwango cha utekelezaji ni 35% pekee.
2026-06-30 06:12:53

何してるの?

0.049236059188843


ニュース
ニュース

最新のニュースとヘッドライン
Makubaliano ya amani ya Washingtona yliyosainiwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, yan...
ニュース