Makubaliano ya amani ya Washingtona yliyosainiwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, yanatekelezwa licha ya changamoto zinazojiokeza, kulingana na Kipimo cha Mikataba ya Amani ya Afrika. Shirika hili huru limejitolea kufuatilia, kutathmini, na kukuza utekelezaji mzuri wa makubaliano haya kote barani. Ripoti rasmi, iliyochapishwa siku ya Jumatano, Julai 1, inakadiria kuwa kiwango cha utekelezaji ni 35% pekee.
2026-06-30 06:12:53