Uganda: Walinda usalama waliwauwa raia wakati wa uchaguzi mkuu: Amnesty
swahili top politics
Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limewashtumu maafisa wa usalama nchini Uganda kwa kuwauwa watu 16 kwa kuwapiga risasi huku mamia ya wafuasi wa upinzani wakikamatwa na kuteswa, wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Januari. 2026-05-02 15:50:29
Најнови вести и наслови
Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limewashtumu maafisa wa usalama nchini Uganda kwa kuwauwa watu 16...
Вести