Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Sierra Leone: Mapambano ya mwandishi wa habari dhidi ya unyanyasaji

Sierra Leone: Mapambano ya mwandishi wa habari dhidi ya unyanyasaji
swahili top politics

Alifukuzwa kazi, akatishiwa, na kulazimishwa kwenda uhamishoni. Nchini Sierra Leone, pambano la Umu Thoronka limechukua sura mpya. Mwandishi huyu wa habari, aliyebobea katika masuala ya afya na jinsia, alifukuzwa kazi mnamo mwezi Julai 2024 kwenye televisheni ya Shirika la Utangazaji la Sierra Leone, Sierra Leone Broadcasting Corporation (SLBC), baada ya kurusha video iliyoonekana kuwa inaikosoa serikali.
2026-05-02 07:03:32

What are you doing?

0.095646142959595


News
News

Latest News and Headlines
Alifukuzwa kazi, akatishiwa, na kulazimishwa kwenda uhamishoni. Nchini Sierra Leone, pambano la Umu Thoronka limechukua sura mpya. Mwandishi...
News