Alifukuzwa kazi, akatishiwa, na kulazimishwa kwenda uhamishoni. Nchini Sierra Leone, pambano la Umu Thoronka limechukua sura mpya. Mwandishi huyu wa habari, aliyebobea katika masuala ya afya na jinsia, alifukuzwa kazi mnamo mwezi Julai 2024 kwenye televisheni ya Shirika la Utangazaji la Sierra Leone, Sierra Leone Broadcasting Corporation (SLBC), baada ya kurusha video iliyoonekana kuwa inaikosoa serikali.
2026-05-02 07:03:32