Mikataba sita mipya yasainiwa kati ya DRC na Uganda wakati wa ziara ya Tshisekedi jijini Kampala
swahili politics top
Rais wa DRC Félix Tshisekedi yuko Uganda kwa matukio mawili: kumalizika kwa kikao cha tisa cha tume ya pamoja ya kudumu kati ya nchi hizo mbili, na leo Jumanne, kuapishwa kwa rais Yoweri Museveni. Mkutano wa saa moja kati ya marais hao wawili, mawaziri 17 wa Kongo uliandaliwa, na hati sita za makubaliano zilisainiwa jana Jumatatu katika Ikulu ya rais mjini Kampala. 2026-05-12 03:51:18
Latest News and Headlines
Rais wa DRC Félix Tshisekedi yuko Uganda kwa matukio mawili: kumalizika kwa kikao cha tisa cha tume ya pamoja ya kudumu kati ya nchi hizo m...
News